AUAWA KWA KUCHINJWA SHINGO KILIMANJARO
Elice Matafu, Mkazi wa Kijiji cha Mrimbo Uuo, Kata ya Mwika Kaskazini, Wilaya ya Moshi ameuawa kwa kukatwa shingo na watu wasiojulikana nyumbani kwake. Mwanamke huyo ameuawa usiku wa saa 2 akiwa nyumbani kwake. Kamanda wa Polisi Mkoani Kilimanjaro, Simon Maigwa amethibitisha kuuawa kwa mwanamke huyo na amesema mauaji hayo yanaviashiria vya visasi ambapo tayari
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed